Mhe.Gekul: Kumbi za Burudani Toeni Fursa kwa Bendi za Muziki wa Dansi na Wasanii Wachanga
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul ametoa wito kwa wawekezaji wa kumbi za burudani nchini kutoa fursa kwa bendi za muziki wa dansi na wasanii wachanga kufanya maonesho katika kumbi hizo ili kukuza na kuendeleza Sanaa nchini. Mhe. Gekul amesema hayo Juni 25, 2021 mjini Kahama wakati akifungua eneo la
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed